Bingwa wazamani wa ndondi za kulipwa duniani wa uzito wa juu Mike
Tyson amemuonya Floyd Mayweather kuwa, anatakiwa kubadilika katika mtindo wake wa upiganaji kama anataka kumshinda Manny Pacquiao katika pambano ghali zaidi na lenye utajiri mkubwa litakalofanyika Mei 2 huo Las Vegas. Pichani Tyson akiwa amebebwa na promota wake Don King.
|
No comments:
Post a Comment