Saturday 24 September 2016

Manchester United yaifunga Leicester City 4-1 wakati Paul Pogba akifungua akaunti yake ya mabao




Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba (kulia) akikimbizwa na kiungo Muingereza wa Leicester City, Danny Drinkwater wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England uliofanyika leo mchana kwenye Uwanja wa Old Trafford jijini Manchester, kaskazini magharibi ya London. Man United ilishinda mabao 4-1.

LONDON, England
TIMU ya Manchester United leo mchana imeutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani wa Old Trafford baada ya kuwafunga mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya England Leicester City kwa mabao 4-1.

Wakati timu hiyo ikiibuka na ushindi mnono, kocha Jose Mourinho amuacha kando ya kikosi cha kwanza nahodha wake Wayne Rooney.

Chris Smalling ndiye alikuwa wa kwanza kuipatia bao Man United kabla Juan Mata hajafunga la pili na kuifanya timu hiy kuongoza kwa mabao 2-0.

Marcus Rashford na Paul Pogba jana walifunga mabao yao ya kwanza katika timu hiyo, ambapo yote yalifungwa kwa njia ya kona.

Mabingwa watetezi Leicester City wenyewe walipata bao lao la kufutia machozi lililofungwa na Demarai Gray kwa shuti la mbali.

Rooney aliingia uwanjani katika dakika ya 83, ambapo hii ni mara ya kwanza nahodha huyo akiingia akitokea benchi tangu Desemba 26, 2016.

Friday 23 September 2016

MAFUNZO YA WALIMU WA MICHEZO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA KAMATI YA OLIMPIKI TANZANIA KUDHAMINIWA NA OLYMPIC SOLIDARITY KATI YA MWAKA 2006-2015





TANZANIA OLYMPIC COMMITTEE (TOC)
KAMATI YA OLIMPIKI TANZANIA

1.    MAFUNZO YA WALIMU WA MICHEZO 2006-2015
NA.

TAREHE
CHAMA/SHIRIKISHO
MAHALI
JINSIA
JUMLA




MME
MKE

1.
APR., 2006
MPIRA WA WAVU
TANGA
25
5
30
2.
AUG. 2006
TAEKWENDO
ARUSHA
30
4
34
3.
APR.  2007
MIELEKA
MOROGORO
21
3
24
4.
SEPT. 2007
MPIRA WA MIGUU
ZANZIBAR
25
-
25
5.
MEI. 2008
KUOGELEA
DAR ES SALAAM
25
5
30
6.
NOV-DEC. 2008
MPIRA WA MIKONO
DAR ES SALAAM
27
3
30
7.
MEI.   2009
TENISI
DAR ES SALAAM
21
-
21
8.
MAR. 2010
BAISKELI
ARUSHA
25
2
27
9.
NOV.  2010
RIADHA
DAR ES SALAAM
19
4
23
10.
JUL.    2011
MPIRA WA MEZA
DAR ES SALAAM
16
5
21
11.
NOV.  2011
JUDO
KIBAHA
32
-
32
12.
JAN.   2012
NGUMI
KIBAHA
23
2
25
13.
MEI.   2012
MPIRA WA MAGONGO
TANGA
20
2
22
14.
AUG.  2012
MPIRA WA KIKAPU
MOROGORO
18
11
29
15.
MEI.   2013
MPIRA WA WAVU
TANGA
27
8
35
16.
JUN-JUL. 2014
TAEKWENDO
ARUSHA
28
1
29
17.
OKT.  2014
MPIRA WA MIGUU
DAR ES SALAAM
29
3
32
18.
JUL-AUG. 2015
MPIRA WA MIKONO
KIBAHA
17
10
27
19.
AUG. 2015
MIELEKA
KIBAHA
20
7
27


JUMLA



448

75

523

                                                                                                                                              NYONGEZA “B”
TANZANIA OLYMPIC COMMITTEE (TOC)
KAMATI YA OLIMPIKI TANZANIA

      1. MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA WA  MICHEZO 2006-2015
NA.
TAREHE
CHAMA/SHIRIKISHO
JINSIA
JUMLA


MKOA
TAIFA
MME
MKE








1
JAN. 2006

MOROGORO
19
4
23
2
MEI. 2006
DAR ES SALAAM

19
5
24
3
JUN. 2006
SONGEA

19
2
21
4
JUN. 2007

ZANZIBAR
20
3
23
5
JUL.  2007

DAR ES SALAAM
13
2
15
6
MEI. 2009
DAR ES SALAAM

17
5
22
7
OKT. 2009

ZANZIBAR
22
8
30
8
JUL.   2010
DAR ES SALAAM

17
6
23
9
AUG-SEPT. 2010
ZANZIBAR

25
5
30
10
AUG. 2012
ARUSHA

23
5
28
11
JUN. 2013
MBEYA

30
8
38
12
OKT. 2013
PEMBA

25
5
30
13
OKT. 2014
KILIMANJARO

14
6
20
14
NOV. 2014
ZANZIBAR

26
4
30
15
JUN.  2015
MTWARA

15
8
23

JUMLA


304
76
380