Friday 9 March 2018

Vitakavyojiri Kwenye DStv wikiendi hii!


Na Mwandishi Wetu
KWENYE Ligi Kuu ya England wikiendi hii ndani ya DStv, Timu mbili zilizobeba makombe mara nyingi England, zenye historia nzuri kwenye ligi ya Uingereza, zenye heshima kubwa kwenye historia ya Soka Uingereza na Duniani kwa Ujumla.

Ikumbukwe, mzunguko wa kwanza ndani ya Anifield timu hizi zilizotoka sare bila kufungana. Man United wakiwa nafasi ya pili wakahitaji ushindi kuendelea kuweka hai matumaini yao ya nafasi ya pili wakati Liverpool nao wakihitaji ushindi ili kuishusha Man United kwenye nafasi ya pili.

Hakika hii sio Game ya kukosa kabisa, kwa sh.69, 000 tu kifurushi DStv Compact
ndani ya Supersport 3 utawashuhudia kina Paul Pogba, Romelo Lukaku, Nemanja Matic, Anthony Martial wakipigania heshima ya Manchester United huku Mohamed Salah, Saido Mane, Emre Can, Frimino wakipigania kukamata nafasi ya pili.

Je hujajiunga na DStv?  wahi sasa Ofa ya THE PUNGUZO, burudika na miezi miwili bure kwa kununua Dekoda pamoja na Dish kwa sh.79, 000 tu!

DStv Kujiunga piga 0659 070707, na ukitaka kujihudumia piga *150*46# kisha fuata maelekezo. THE PUNGUZO na DStv!!

No comments:

Post a Comment