LONDON,England
TIMU ya Blackburn Rovers imeikalia kooni
Liverpool na kulazimisha kurudiwa kwa mchezo huo war obo fainali wa Kombe la FA.
Pamoja na Liverpool kucheza mbele ya
mashabiki wake katika uwanja wa Anfield, bado walishindwa kufurukuta na kujikuta
muda ukimalizika timu hizo zikiwa suluhu.
Craig Conway aliikosesha timu yake bao la
mapema baada ya kupaisha mpira kabla ya Kolo Toure bao lake kukataliwa baada ya
kudaiwa kufunga akiwa tayari ameshaotea.
No comments:
Post a Comment