Sunday 8 February 2015

Tamasha la Nyama Choma lilivyofana Leaders

Mchezo wa kulenga shabaha nao ulikuwepo katika tamasha la Nyama Choma.
Mchezo uliokuwa katika banda la Black Energy uliopendwa na wengi.

Nyoma ikichomwa taratibu na kiutalaam zaidi.
Mmoja wa wahudumu akiandaa nyama choma.
Nyama ikiwa inachomwa katika tamasha la Nyama Choma Leaders Club. Wengi walifurahia uchomaji huo wa nyama.

Baadhi ya watu wakichagua nyama wakati wa tamasha la Nyama Choma Leaders .

No comments:

Post a Comment