Tuesday 10 February 2015

Moto wateketeza ghorofa jijini Dar


Gari la Zima Moto likitumia winchi kuzima moto katika nyumba moja mtaa wa Msikiti leo Jumanne jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya nyumba ya ghorofa mbili ikiteketea kwa moto katika mtaa wa Msikiti jijini Dar es Salaam jana.
Ghorofa ya pili ya nyumba moja katika mtaa wa Msikiti jijini Dar es Salaamikiteketea kwa moto leo. Kushoto ni gari la zima moto likizima moto huo.n

No comments:

Post a Comment