Friday 20 February 2015

Judo walivyotoa Kombe lao Maelezo


Wachezaji wa timu ya taifa ya Judo ya Tanzania Bara wakiwa na kombe lao la ubingwa wa Kanda ya Tano ya Afrika pamoja na kocha wao Khamis Zaidi (kulia nyuma).
Baadhi yawachezaji wa timu ya taifa ya judo wakionesha Kombe kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo.
Baadhi ya wachezaji na viongozi wa Chama cha Judo Tanzania katika ukumbi wa Habari Maelezo.

No comments:

Post a Comment