Wednesday 4 April 2018

Barcelona, AS Roma Kuonekana Ndani ya DStv

Na Mwandishi Wetu 
Michuano ya UEFA champions League hatua ya robo fainali raundi ya pili inaendelea leo siku,

Jana usiku tulishuhudia hatua ya kwanza ya robo fainali, ambapo Juventus walipigwa 3-0 na Real Madrid hivyo Madrid kuwa katika nafasi nzuri ya kusonga mbele wakisubiri mchezo wa marudiano utakaofanyika wiki ijayo.

Katika mchezo mwingine jana usiku, mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Sevilla ya Hispania.

REal Madrid na Bayern Munich wako katika nafasi nzuri ya kutinga hatua ya nusu fainali.


Leo usiku michuano inaendelea, ambapo Barcelona inaikaribisha AS Roma, Barcelona ina rekodi nzuri kwenye michuano  hii ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya.

Timu hiyo ya Hispania imeshiriki mashindano hayo mara 11 tangu na kutwaa mataji mara kadhaa.

Timu hiyo imecheza robo fainali ya Ulaya mara nne, nusu fainali mara nne huku ikicheza fainali idadikama hiyo na kutwaa ubingwa mara mbili.
Leo Jioni wanashuka Dimbani kwa mara nyingine tena wakicheza dhidi ya Roma. Je unaitabiria nini Barcelona kwenye mechi hii dhidi ya Roma?

Usikubali kukosa Uhondo huu Soka utakaorushwa Mubashara na DStv pekee, saa 3 usiku kwenye Supersport 10 kupitia kifurushi chake cha DStv Bomba kinachopatikana kwa Sh. 19,000 pekee!

Jiunge na DStv sasa kwa Sh. 79,000 tu, wasiliana nao kwa 0659 07 07 07, kujihudumia bonyeza *150*46#


Social media:

Leo usiku tunaendelea na michuano ya #UEFA Champions League hatua ya robo fainali,ambapo Barcelona inaikaribisha Roma.

Inakua ni rekodi nzuri ya 11 kwa Barcelona ndani ya #UEFA  tangu 2007, Hii ikiwa ni kufika katika robo fainali mara 4 nusu Fainali mara 4 pamoja na  Ushindi mara 2,Je unaitabiria nini Barcelona katika Mchezo wao wa leo dhidi ya Roma?

Je, Utabiri wako ukoje?  Usikubali kukosa Uhondo huu wa Soka kwenye @DStvTanzania pekee! Mechi hii itaruka LIVE kupitia  SS10 saa 3 usiku kwenye  kifurushi cha DStv Bomba kwa sh.19,000 tu!

No comments:

Post a Comment