Sunday 28 January 2018

Roger Federer Bingwa US Open 2018 kwa Wanaume

MELBOURNE, Australia
ROGER Federer leo ametwaa taji lake la sita la Australian Open na la 20 kubwa baada ya kushinda seti tano dhidi ya Marin Cilic.

Mswisi huyo alipoteza mechi tano mfululizo wakati akipoteza seti ya nne, lakini aliibuka na kushinda kwa 6-2 6-7 (5-7) 6-3 3-6 6-1.

Federer, mwenye umri wa miaka 36, amekuwa mchezaji wanne baada ya Margaret Court, Serena Williams na Steffi Graf kushinda mataji makubwa 20 au zaidi kwa mchezaji mmoja mmoja.


"Ni ndoto imetimia baada ya kufanikiwa kutwaa taji hili, “alisema Federer, ambaye ameshinda matatu kati ya mataji matano makubwa.

No comments:

Post a Comment