Wednesday 28 February 2018

Mzee Joram kushiriki tena Kili Half Marathon 2018

Mzee Joram Mollel maarufu kama BABU mwenye umri wa miaka 91 akijisajili kushiriki mbio za KM 21 za Tigo Kili Half Marathon katika zoezi la usajili lililofanyika jana katika viwanja vya keys Hotel, jijini Arusha. Tigo Kili Half marathon inatarajiwa kufanyika Jumapili tarehe 4 Machi mwaka huu katika viwanja vya Chuo cha Ushirika, Moshi. 

No comments:

Post a Comment