Friday 23 February 2018

Mechi Kali za Premier League Wikiendi hii


WIKIEND hii kwenye michuano ya Premier League, Liverpool inarudi uwanjani siku 10 baada ya ushindi mzito wa 5-0 walioupata dhidi ya Porto kwenye Ligi ya Mabingwa UEFA, Jumamosi hii kwenye EPL wanawakaribisha Westham United Anfield wakiwa na matumaini makubwa ya kupata matokeo, Je watafanikiwa?

Angalia mechi hii MUBASHARA kwenye DStv Bomba kwa sh.19,000 tu, mechi itachezwa saa 12 jioni ,Supersport 10.

Mechi nyingine zitakazopigwa wikiendi hii kwenye Premier League ni:

        Leicester City dhidi Stoke City saa 9 alasiri kwenye Supersport 3

        Watford vs Everton saa 2 usiku kwenye Supersport 3

        Burnely vs Southampton saa 12 jioni Supersport 5

        Na AFC Bournemouth itacheza dhidi ya Newcastle United saa 12 jioni a kurushwa LIVE kwenye Supersport 10 iliyopo kwenye kifurushi Bomba kw ash.19,000 tu!

Jumapili ndio balaa lenyewe pale Manchester United ambao kwasasa wanashika nafasi ya 2 kwenye msimamo wa EPL wakiwa na pointi 56 wanawakaribisha Chelsea ambao wapo nafasi ya 4 wakiwa na utofauti wa pointi 3 tu! Je, Man Utd atashinda au Chelsea itafunga pengo?

Usikose mechi hii, Jumapili saa 10 jioni kwenye Supersport 3 ya kifurushi DStv Compact kwa sh.69, 000 tu!

Je hujajiunga na DStv?  wahi sasa Ofa ya THE PUNGUZO, burudika na miezi miwili bure kwa kununua Dekoda pamoja na Dish kwa sh.79, 000 tu!

Kujiunga piga 0659 070707, THE PUNGUZO na DStv!!


No comments:

Post a Comment