Tuesday 25 August 2015

Dk. Ali Mohamed Shein awahutubia maelfu ya wananchi Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia wanachama wa CCM na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar jana. Shein alichukua fomu kutaka kuwania tena nafasi hiyo.

No comments:

Post a Comment