HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NA BURUDANI ZA KITAIFA NA KIMATAIFA.
Tuesday 25 August 2015
Dk. Ali Mohamed Shein awahutubia maelfu ya wananchi Zanzibar
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia wanachama wa CCM na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar jana. Shein alichukua fomu kutaka kuwania tena nafasi hiyo.
No comments:
Post a Comment