Sunday 9 August 2015

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania walivyohitimisha Siku kuu ya Nane Nane kitaifa Lindi 2015


Ofisa Utumishi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Fatma Matimba akitoa maelezo.

Ofisa Sheria wa TAA Nuru Nyoni akigawa vipeperushi.

Ofisa Uhusiano wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bahati Mollel (kushoto) akitoa  maelezo kwa wanafunzi waliofika katika banda hilo kujua shughuli za siku hadi siku za mamlaka hiyo.




No comments:

Post a Comment