Sunday 2 August 2015

Azam FC mabingwa wapya Kombe la Kagame

Mabingwa wa wapya wa Kombe la Kagame timu ya Azam FC wakishangilia na kombe lao mara baada ya kukabidhiwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment