Saturday 8 August 2015

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege walivyoshiriki maonesho ya Nane Lindi

Emmanuel Mbwambo (kulia), akimpa maelezo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, katika maonesho ya 22 ya Nanenane yanayofanyika kitaifa mkoani Lindi.
Wananchi wakiangalia mkanda wa video katika banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) unaoonesha shughuli za mamlaka hiyo katika maonesho ya Nane mkoani Lindi.

No comments:

Post a Comment