![]() |
| Emmanuel Mbwambo (kulia), akimpa maelezo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, katika maonesho ya 22 ya Nanenane yanayofanyika kitaifa mkoani Lindi. |
![]() |
| Wananchi wakiangalia mkanda wa video katika banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) unaoonesha shughuli za mamlaka hiyo katika maonesho ya Nane mkoani Lindi. |


No comments:
Post a Comment