Sunday 2 August 2015

Shule ya Msingi Hazina haina mpinzani mtihani wa Utamilifu 2015

Ofisa Elimu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Komba (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule zilizofanya vizuri katika mkoa wake katika mtihani wa Utamilifu au Moko uliofanyika Juni mwaka huu, huku shule ya Hazina ikishika nafasi ya kwanza na wafunzi wake wakishika nafasi ya kwanza hadi ya 10 katika mkoa wa Dar es Salaam wakati wakielekea kufanya mtihani wa taifa.

No comments:

Post a Comment