Wednesday 23 August 2017

Viwanja vinne vya ndege kuwekewa rada za kisasa

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa akisikiliza wataalam alipotembelea jengo la Tower kabla ya kuingia mkataba wa ufungaji wa Rada nne katika viwanja vya ndege nchini. Mwenye tai nyekundu Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Salim Msangi.



No comments:

Post a Comment