Wednesday 16 August 2017

Kaimu Mkurugenzi JNIA akutana na wadau

Wadau mbalimbali wa mashirika ya ndege yanayofanya kazi kwenye Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), wakiandika mambo mbalimbali yaliyokuwa yakisemwa na Kaimu Mkurugenzi wa JNIA, Bw. Johannes Munanka alipokutana nao leo katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa TBII
Bw. Iqbal Sajan wa Shirika la Ndege la Auric (aliyesisimama) akichangia hoja kwenye mkutano wa mashirika ya ndege ulioitishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Bw. Johannes Munanka wa kujadili masuala mbalimbali ya kuboresha huduma.

No comments:

Post a Comment