Thursday 8 March 2018

Wanawake TAA Walivyosheherekea siku yao Dar

Wanawake wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), leo Machi 8, 2018 wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Mlimani City kwa mkoa wa Dar es Salaam, ambapo kauli mbiu ni “Kuelekea uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa Jinsia na uwezeshaji wa wanawake Vijijini”.
 Bi. Anna Myovela (kulia) na Bi. Linah Kidemi (aliyeinama) wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wakicheza kwa furaha katika maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, iliyofanyika Mlimani City kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Mgeni rasmi alikuwa ni Mke wa Rais, Bi. Janeth Magufuli, ambapo kauli mbiu ni “Kuelekea uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa Jinsia na uwezeshaji wa wanawake Vijijini”.
 Wanawake wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakifurahia siku yao leo Machi 8, 2018 kwa kucheza ngoma, katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, iliyofanyika Mlimani City kwa mkoa wa Dar es Salaam, ambapo Kauli mbiu ni “Kuelekea uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa Jinsia na uwezeshaji wa wanawake wa Vijijini”.
 Kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Dar es Salaam ni “Kuelekea uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa Jinsia na uwezeshaji wa wanawake vijijini”, ambapo Wanawake wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), leo Machi 8, 2018 wakiungana na wenzao Mlimani City mkoani Dar es Salaam kuadhimisha siku hiyo.
Maandamano ya wanawake ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani yamefanyika leo Machi 8, 2018 kwa mkoa wa Dar es Salaam na kauli mbiu ni Kuelekea uchumi wa viwanda tuimarishe usawa wa Jinsia na uwezeshaji wa wanawake vijijini, ambapo pichani ni wanawake wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), nao waliungana na wenzao kusherehekea siku hiyo.

No comments:

Post a Comment