Friday 27 January 2017

Ziara ya wajumbe wa kamati ya bunge uwekezaji wa mitaji ya umma walipotembelea JNIA

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), wakipata taarifa mbalimbali za ujenzi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA).


Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), wakiendelea kuchukua maelezo mbalimbali ya ujenzi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere kutoka kwa Mkurugenzi wa Mradi huo, Mhandisi Mohammed Millanga

 (hayupo pichani).

Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Mhe. Sophia Simba (mwenye sketi ndefu), akiwa na wajumbe wenzake wakikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Julius Nyerere.

   Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Mhe. Albert Obama (mwenye shati la maua mbele), akiongoza wajumbe wa kamati hiyo kukagua ujenzi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.

Mhe. Joseph Haule ‘Prof. Jay’, (kulia) akiongozana na Mkurugenzi wa mradi wa jengo la tatu la abiria la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Mhandisi Mohammed Millanga, walipotembelea jengo hilo hivi karibuni.

Mkurugenzi wa mradi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Mhandisi Mohammed Millanga (aliyenyoosha mkono), akitoa maelezo ya ujenzi kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) walipotembelea hivi karibuni.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Mhe. Albert Obama (kulia) akiwa na wajumbe wa kamati hiyo walipotembelea maendeleo ya ujenzi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.

Mhandisi Mohammed Millanga (aliyenyoosha mkono), akiwaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), maendeleo ya ujenzi wa jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, ambapo likikamilika litakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni sita kwa mwaka.

Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), wakiondoka katika jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, baada ya kutembelea maendeleo ya ujenzi huo. Jengo hilo linatarajiwa kukamilika Disemba 2017.


No comments:

Post a Comment