Tuesday 25 October 2016

SAMAKI AINA YA NYANGUMI ALIVYOPATIKANA KILWA MASOKO NA KUNUFAISHA WATU

Watafiti wakipima mabaki ya samaki mkubwa aina ya nyangumi katika ufukwe wa bahari ya Hindi, Kilwa Masoko, ambaye anadaiwa kuwa ni mkubwa miongoni mwa waliowahi kuonekana nchini.
Sehemu ya tumbo na mbavu za nyangumi huyo mwenye uzito wa tani karibu 40 na urefu wa mita 41.
Mtoto Jumanne akichota mafuta kutoka katika mabaki ya samaki aina ya nyangumi katika ufukwe wa bahari ya Hindi Kilwa Masoko mkoani Lindi hivi karibuni. Mafuta hayo alikuwa akiyauza kwa sh. 5,000  kwa chupa akidai yanatibu magonjwa mbalimbali.

No comments:

Post a Comment