Thursday 31 May 2018

MultiChoiceYawekeza Kukuza Tasnia ya Filamu Afrika


Naibu Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson (katikati), Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harison Mwakyembe (Kulia) na Mkurugenzi wa MultiChoice Africa Kanda ya Afrika Mashariki na Magharibi.,Maharage Chande wakishuhudiauzinduzirasmi wa programu ya‘MultiChoice Talent Factory’ inayotoafursakwavijanawenyekipajikatikatasniayafilamukujiunganakituomaalum cha mafunzoyafanihiyokwamuda wa mwakamzimakwaudhamini wa MultiChoiceAfrika. Uzinduzihuoulifanyikajijini Dodoma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

MultiChoiceAfrica,Imezindua rasmiprogram kubwayakijamiiinayolengakuletamapinduzimakubwakatikatasniayafilamuhapa Tanzania nabaraniAfrikakwaujumla.

Program hiyoijulikanayokamaMultiChoice Talent Factory (MTF) –inalengakuchocheaubunifu wa vijana wa Afrikakatikatasniayafilamunaimeandaavyuomaalumvitatuambavyovitatoamafunzomaalumyautengenezaji wa filamukwavijanakutokanchimbalimbalikotebaraniAfrika.

“Maendeleoyanchiyetukwamudamrefuyamekuwayakitambuliwakwauwekezajikatikamaliasilinyingitulizonazokama vile madini, kilimo, mifugo, wanyamapori, nakadhalikahukusektayaubunifuikiwahaijapewakipaumbelekikubwanahivyosektayasanaanaubunifukuwanamchangomdogokatikaukuaji wa uchumiwetu.

Ili kuhakikishakuwatunasaidiananaserikalikatikamkakati wake wa kuifanyasektayaubunifunasanaakuwamojayamihimiliyauchumiwetu, MultiChoiceimeanzisha program hiinatumeanzanasektayafilamu” alisema Maharage Chande, Mkurugenzi wa MultiChoicekandayaAfrikaMasharikinaMagharibi.

Tumebarikiwakwavipajivingikatikafanimbalimbalinabilashakatukiwekezakatikavipajivyavijanawetubilashakatutafanikiwakupanuawigo wa ajiranauchumiwetunahivyokuchangiakwakiasikikubwaukuaji wa uchumi wa nchiyetu


Mkurugenzi wa MultiChoice Africa Kanda yaAfrikaMasharikinaMagharibi Maharage Chande akizungumzawakati wa uzinduzirasmi wa programuya ‘MultiChoice Talent Factory’ inayotoafursakwavijanawenyekipajikatikatasniayafilamukujiunganakituomaalum cha mafunzoyafanihiyokwamuda wa mwakamzimakwaudhamini wa MultiChoiceAfrika. Uzinduzihuoulifanyikajijini Dodoma

AmesemaProgrammu hiyo itakayoanza rasmi mwezi Oktobamwakahuuitawawezeshavijana
wanne
kutoka Tanzania kuungananavijanawenginekutokanchimbalimbalizaAfrikakatikavyuomaalumvyamafunzoyautengenezaji wa filamambavyovitakuwanchini Nigeria, Kenya na Zambia.
Kwaupande wake, Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa naMichezo Dr. HarisonMwakyembeamesema program hiyoitakuwachachukubwakatikakuletamapinduzikwenyetasniayafilamuhapanchinikwanivijanawatakaopatikanambalinakwambawatakuwanauwezo wa haliyajuu wa kutengenezafilamu, palipiawatakuwakamawaalimu wa wezaoambaowanavipajikatikatasniahiyo.

“NimefurahisanakusikiakuwaMultiChoicewanapangakuendeleanampangohuukwamudamrefukwahiyojapokuwatunaazakwakupelekawanafunziwanne, badotunaaminihuunimwanzomzurisana. Cha msingi kwanza siyoididiyawanafunzi, baliniumuhimu wa chuohichonakiwango cha mafuzokitakachotolewa. Tunaaminikwamwakahuu wa kwanza vijanahaowakikamilishamafuzoyaonawakirudinyumbaniwatakuwachachukubwakatikakukuzanakuimarishatasniayafilamuhapanchini”
PiaametoaraikwaMultiChoicekushirikianakwakaribunawizarayaElimunaMafunzoyaUfundinapiavyouvyetuambavyovinatoaelimuyasanaayafilamuilikuhakikishakuwawanabadilishanaujuzinauzoefunapiaikiwezekanakuwanamiradiyapamojayamudamrefunamfupinahivyokuwafikiavijanawengizaidinakuwezakutimizalengokuu la kuifanyafaniyafilamukuwamojayanguzozauchumi wa nchihii.
Program hiyoinaanzarasmikwakupokeamaombiyawashirikiambayoyatapokewakwanjiayamtandao
Kwaufupi;
·      
Mkurugenzi wa MultiChoice Africa Kanda yaAfrikaMasharikinaMagharibi Maharage Chande akimkaribisha Naibu Spika wa Bunge la JamhuriyaMuungano wa Tanzania Dk. Tulia Acksonkatikahaflayauzinduzirasmi wa programuya ‘MultiChoice Talent Factory’ inayotoafursakwavijanawenyekipajikatikatasniayafilamukujiunganakituomaalum cha mafunzoyafanihiyokwamuda wa mwakamzimakwaudhamini wa MultiChoiceAfrika. Uzinduzihuoulifanyikajijini Dodoma jana.

   Programu hii inamruhusu mtanzania anayekidhi vigezo kuingia kwenye mashindano ya kupata washindi wanne ambao watadhaminiwa kwa mwaka mmoja kwa mafunzo yote yahusuyo utengenezaji filamu.

·         Maelezo zaidi yanapatikana kwenye tovuti ya www.multichoicetalentfactory.com
·         Vilevile kutakuwa na namba maalum ambayo inapatikana kuanzia tarehe 1 June 2018.
·         Wanaotaka kushiriki wanaweza kuanza kuwasilisha maombi yao kuanzia sasa na mwisho ni tarehe 4 July 2018.

·         Hakuna gharama za kushiriki kwenye mashindano
·         Mafuzo rasmi kuanza mwezi wa Oktoba 2018, jijini Nairobi, Kenya
·         Washindi watako chaguliwa watakuwa wanne (4).

·         Gharama zote zitalipiwa na Multichoice kwa kipindi cha mwaka mmoja
Jiungenaulingo wa MTF Mitandaonikwa #multichoicetalentfactorykishafuata au jiungekwa:
·         Instagram: @multichoicetalentfactory;
·         Twitter: @MCTalentFactory
·         Facebook: @multichoiceafricatalentfactory


KwaMaelezozaidiwasilianana;
Johnson Mshana
MkuuwaMawasiliano



No comments:

Post a Comment