Monday 23 October 2017

Kozi ya awali ya mafunzo ya Anga yafunguliwa leo

 Kaimu Mkurugenzi wa Kiwanja cha Kimataifa cha Ndege cha Julius Nyerere (JNIA), (wa pili kushoto waliokaa), Johannes Mnaka, mkuu wa chuo cha Anga, Enirisha John (katikati waliokaa). Kushoto waliokaa mkufunzi  Thmarat Abeid, Kulia waliokaa mkufunzi na wa pili kulia ni Fatuma Makimba, ambaye ni Meneja Rasilimali Watu wa JNIA, akiwa pamoja na viongozi wengine na wanafunzi wa kozi ya awali ya Anga leo jijini Dar es Salaam.
 Wanafunzi wa kozi ya awali ya Anga wakati wa ufunguzi wa kozi hiyo leo jijini Dar es Salaam.


Kaimu Mkurugenzi wa Kiwanja cha Kimataifa cha Ndege cha Julius Nyerere (JNIA), Johannes Mnaka akifungua kozi ya awali ya anga katika Chuo cha Anga jijini Dar es Salaam mapema leo.

No comments:

Post a Comment