Friday 22 April 2016

Tasuba walivyokabidhiwa vifaa vya muziki vyenye thamani ya sh. mil 80 na Kituo cha Utamaduni na Maendeleo cha Denmark (CKU)

Kundi la Matarumbeta la Taasisi ya Sanaa na Utamaduni (Tasuba) nalo lilitumbuiza siku hiyo muhimu.
Wageni kutoka mataifa mbalimbali nao walikuwepo kushuhudia makabidhiano hayo ya vyombo vya muziki Tasuba.

Wanafunzi wakiimba kabla ya makabidhiano hayo ya vyombo.


Maigizo nayo yalikuwepo katika hafla hiyo.

Sarakasi ilikuwa balaa na kuwaacha watu hoi kwa mibinuko na mikunjo.

Akina dada nao hawakuwa nyuma katika sarakasi za kichina china.






Mchezo wa kuigiza uliokuwa unaelezea changamoto wanazopata wanafunzi wa muziki Tasuba kwa ukosefu wa vifaa vya muziki, ambavyo Kituo cha Utamaduni na Maendeleo cha Denmark (CKU) kilitoa vifaa hivyo vyenye thamani ya sh. milioni 80 ili kutatua tatizo hilo.


 

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Leah Kihimbi akiangalia moja ya vifaa vya muziki wakati wa makabidhiano hayo. Kushoto ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa Tasuba, Michael Kandinde.

Mwalimu wa muziki Andrew Nyakasi akipiga kinanda mumuonesha Kaimu Mkurugenzi wa Sanaa, Leah Kihimbi wakati wa makabidhiano ya vifaa vya muziki Tasuba.

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni ya Bagamoyo (Tasuba), Michael Kandinde

Msimamizi wa Programu ya muziki nchini Tanzania wa Kituo cha Utamaduni na Maendeleo cha Denmark (CKU), Mandolin Kihindi wakati wa hafla hiyo.

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Leah Kihimbi


No comments:

Post a Comment