Saturday 12 December 2015

Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kawaida wa Mwaka wa TOC unaofanyika leo Kituo cha Amani, Welezo Zanzibar

Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi akisoma taarifa yake ya mwaka katika Mkutano Mkuu wa TOC Kituo cha Amani Welezo, Zanzibar. Kulia ni Rais wa TOC Gulam Rashid na Mhazini msaidizi Juma Zaidi (kushoto).
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) wakati wa mkutano huo jana Zanzibar.
 







Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Gulam Rashid wakati wa ufunguzi  wa Mkutano Mkuu wa kawaida wa mwaka wa TOC unaofanyika leo Zanzibar. Kushoto ni Katibu Mkuu wa TOC, Filbert Bayi na Mhazini Mkuu Charles Nyange.




Mhazini Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Charles Nyange (kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya mmoja ya makampuni yaliyodhamini Siku ya Olimpiki.

Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TOC katika picha ya pamoja leo mjini Zanzibar.
 

No comments:

Post a Comment