Thursday 10 December 2015

HOTUBA YA MGENI RASMI WAKATI WA UFUNGUZI WA MKUTANO MKUU WA KAMISHENI YA WACHEZAJI TANZANIA (KAWATA) ULIOFANYIKA LEO DESEMBA 10 ZANZIBAR



 
Ndugu Gulam A. Rashid, Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Tanzania,

Ndugu Filbert Bayi  Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania,

Ndugu Viongozi wa Kamisheni ya Wachezaji Tanzania,

Wageni Waalikwa,

Mabibina Mabwana.

Awali ya yote, napenda kutoa shukrani zangu kwa viongozi wenzangu wa TOC
kwa kunishirikisha na kunipa heshimahiiyakuwamgenirasmiwakuufunguaMkutanohuumuhimuwaKamisheniyaWachezaji Tanzania.

Kwanza naipongezaofisiyetuyaKamatiyaOlimpiki Tanzania kwakutekelezamaagizoyaKamatiyaOlimpikiyaKimataifayakuzitakaKamatizaOlimpikizaKitaifakujumuishawachezajikwenyeKamatizakezaUtendaji, naMikutanoMikuuyakehalikadhalikanaVyama/MashirikishoyaMichezowanachamawa TOC ambaomichezoyaoipokwenyeratibayaMichezoyaOlimpiki(Summer/Winter).

Ni matumainiyanguwengiwawawakilishiwaliohapaniwajumbehalaliwaliochaguliwanawachezajiwenzaondaniyaVyama/Mashirikishoyamchezohusikakwanjiayademokrasianasiyokuteuliwanaviongoziwavyama/mashirikishoyamichezoyenu, vile vilekutokaamadarakanizaidiyamudawauongoziambaoukokwenyemwongozowenukamamlivyoelekezwanaKamatiyaOlimpikiyaKimataifa (IOC) kupitiaKamatiyaOlimpikiyaTanznaia (TOC).

NatoawitokwaviongoziwaKamisheniyaWachezajiwanaowakilishavyama/mashirikishoyamichezokusaidiananaviongoziwaVyama/Mashirikishohusikailikamahavipohai, basiwajitahidikuvifufuakwamaanayakufanyauchaguzikwamudamuafakakufuatakatibazao. Kuna michezominginehufakutokananakutokuweponamsukumokutokawadauwavyama /mashirikishoyamichezoambaoniwachezaji. ViongoziwaKamishenikatikavyama/mashirikishovinawajibuwakusaidiamaendeleoyamichezokatikataifaletukupitiavyamanamashirikishoyao. Kamishenizilizochaguliwanazilizopoziwezekutoachangamotoyaushauriwanamnayakuendeshamichezonchini, kwanihadiduzarejeazakazizaonipamojanakuamshaariyawachezajiwenginewakitaifanakimataifakatikakufikiamahalipazuri pa kupatawachezajiwatakaowakilishavilabu, vyamanamashirikishoyetukatikangazimbalimbalizamashindano.KAWATA kuanziangaziyaVyama/MashrikishoyaMichezohadiTaifahaziwezikukwepalawamawakatitimuzetuzinapofanyavibayakatikaMashindanoyaKimataifa.

Nimefahamishwakuwawachezajiwengipamojanakwambammekamilikahapakuhudhuriamkutanohuu, lakinindaniyavyama/mashirikishoyenuhampewinafasiyakuwamojawawajumbewaKamatizaUtendajizaVyama, MashirikishonaVilabuvyamichezonakuwananafasiyauwakilishiwenyekurakatikaMikutanoMikuu.Ndaniyanafasihizokunamaamuzimengineyanawahusuwachezajiambaondiyowadauwakubwawavyombovyetuvyamichezohapanchini, lakinimaamuzihayoyamekuwayakiamuliwanaviongoziwavyama/mashirikishoyamichezo,ndiyomaanaTOC naIOC wakalionahilinakuamuawawepowawakilishiwaWachezaji. Ni matumainiyangukamamojawaviongoziwa TOC,VyamanaMashirikishoyaMichezo Tanzania Bara na Zanzibar wametekelezamaagizoya IOC kwafaidayaMichezokatikanchiyetu. .
  
Viongozi wa Kamisheni ya Wachezaji Tanzania Kawata), Katib u Mkuu Amina Ahmed (kushoto) na mwenyekiti wake, Ramadhabi Zimbwe pamoa na Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Filbert Bayi wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Kawata leo Zanzibar.
Binafsi, ninaungakabisaumuhimuwaKamisheniyaWachezajikatika TOC, Vyama/MashirikishonaVilabuvyaMichezo, huuniuamuzimzuriwaKamatiyaOlimpiki Tanzania (TOC)naKamatiyaOlimpikiyaKimataifa (IOC), nanikatikakukamilishaazmayamaadiliyaOlimpikihasakuwapawachezajihakiyakutoamawazoyaokatikaKamatizaUtendajizaVyama/Mashirikishona TOC. 


PiaKamishenikupitiaVyama/MashirikishoyetuyaMichezoipingekwanguvuzoteutumiajiwamadawayakuongezanguvukatikamichezoambakokwasasaumeongezekakwakasi.Shirikisho la Riadha la Kimataifa (IAAF) imeshaanzakupambanananchiambazowanariadha wake wamekuwawakitumiamadawayakuongezanguvukatikariadha.

KamisheniivihamasisheVilabunaVyamavyaMichezokuwanaKamishenizaoilizisaidiemaendeleoyamichezohapanchini, msikubalidaimakutumwakatikamikutanokamahiikwakuteuliwabilakuchaguliwa.

KwahayamachachesasanikotayarikufunguarasmiMkutanowenunakuwatakiakila la kheri.


Ahsanteni kwa kunisikiliza.
 
Baadhi ya wajumbe wa Kamisheni ya Wachezaji Tanzania (Kawata) wakiwa katika mkutano mkuu wao leo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment