Monday 17 September 2018

IAMCO Washuhudia Panya Wakigundua Mabomu Ardhini

Lango la Kuingilia katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), ambako ziliko ofisi za Apopo, ambazo hutoa mafuno kwa panya kunusa harufu ya mabomu na kuibaini ugonjwa wa Kifua Kikuu.
Pendo Msegu, mmoja wa walimu wa panya jinsi ya kubaini mabomu yaliyofukiwa ardhini akiwa kaini leo SUA Morogoro.
Panya akisaka bomu lilikofukiwa .

 
Wanafunzi wa Institute of Arts and  Media Communication wakipata maelezo kutoka kwa Ofisa Mawasiliano wa Apopo,  Lily Shallom  kuhusu wanavyowatunza na kuwapa mafunzo panya hadi kuweza kubaini mabomu yalipofukiwa ardhini. Kushoto ni Mkurugenzi wa chuo hicho, Ngayoma mjini Morogoro.

Mwanafunzi wa Iamco baada ya kuiva katika somo la upigaji picha akipata shot wakati walipotembelea Apopo mjini Morogoro leo.

 
 
Pendo Msegu, mmoja wa walimu wa panya akimrudisha panya katika banda lake baada ya kumaliza kumpima uzito. Panya hao kila asubuhi kabla ya kuanza mafunzo hupimwa uzito na wale wanaogundulika kuongezeka, hufanyishwa mazoezi na kupewa chakula maalum ili wapungue na kuwawezesha kufanya kazi vizuri, tofauti na wakiwa wanene.

No comments:

Post a Comment