Saturday 15 September 2018

Daraja la Juu Tazara Dar Laanza Kutumika Leo

Daraja la Juu la Tazara Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Septemba 15, limeanza kutumika kwa majaribio, ambapo magari yakiwemo madogo na mabasi, yanapita na kupunguza kero ya foleni kwa kiasi kikubwa. Daraja hilo linatarajia kuzinduliwa rasmi mwezi ujao na Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

No comments:

Post a Comment