Tuesday 16 June 2015

Watu wenye hasira walipopomoa mawe basi la TFF

Basi la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), likiwa limevunjika kioo baada ya watu wenye hasira kukivunja jana wakichukizwa na timu hiyo kufungwa 3-0 na Misri katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017. Picha hiyo imepigwa leo wakati likiwa limeegeshwa katika hoteli moja jijini Dar es Salaam.
Kioo ambacho kimevunjwa na watu wenye hasira cha basi la TFF.

No comments:

Post a Comment