Friday 19 June 2015

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Viwanja vya Ndege atembelea banda lao

Mkurugenzi wa TAA, Suleiman Suleiman (kulia) akihojiwa katika banda la mamlaka hiyo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja leo.


Banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.

Baadhi ya vifaa ambavyo haviruhusiwi kuingia navyo katika ndege vikioneshwa katika banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA).


Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Suleiman Suleiman akizungumza na waandishi wa habari katika banda la TAA la maonesho ya Wiki ya Utumisi wa Umma.
Ofisa Usalama Mwandamizi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege, Bakari Mwalwisi (kushoto), akitoa maelezo ya usalama kwa wananchi waliotembelea banda hilo la maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment