Tuesday 16 June 2015

Kongamano la Saba la Ramadhani lafanyika jijini Dar es Salaam

Mshindi wa kwanza wa kusoma Qurani Tukufu Tanzania na mshndi watano duniani 2014, Mohamed Boki akisoma Qurani wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Saba la Ramadhani kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kongamano hilo ni mahsusi kwa ajili ya kuukaribisha mwezi Utukufu wa Ramadhani.


Brother Mussa Azir akisoma dua wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Saba la Ramadhani.
Sheikh Mohamed Mussa alikuwa mmoja wa wazungumza katika Kongamano la Saba la Ramadhani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Amana Bank, Dr. Muhsin Masoud akizungumza wakati wa Kongamano la Saba la Ramadhani lililofanyika jijini Dar es Salaam. Amana Bank ndio benki ya kwanza nchini kufuata misingi ya Kiislamu hapa nchini.
Mzungumzaji Mkuu wa Kongamano la Saba la Ramadhani, Dr. AhmaTotonji akizungumza wakati wa kongamano hilo.
Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Saba la Ramadhani lililofanyika jijini Dar es Salaam.


No comments:

Post a Comment