Tuesday 16 June 2015

Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yalivyoanza Mnazi Mmoja leo

Banda la Muhimbili wakikamilisha maandalizi ya mwisho wakati wa maonesho ya Utumishi wa Umma leo.

Mabanda ya taasisi mbalimbali wakati wa maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma leo.
Mfanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bi. Frida Nkondokaya (kushoto) akitoa maelezo ya huduma wanazotoa katika taasisi yao wakati wa maonesho ya Wiki ya Utumishi wa umma leo.
Ofisa Uhusiano wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bahati Mollel (kulia) na mfanyakazi mwenzake wa mamlaka hiyo, Frida Nkondokaya wakitoa maelezo kwa mmoja wa wananchi waliofika katika banda la TAA leo, siku ya kwanza ya maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.




Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakitoa maelezo kwa watu waliotembelea banda lao jana siku ya kwanza ya wiki ya maonyesho ya Utumishi wa Umma kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja leo.

No comments:

Post a Comment