![]() |
| Baadhi ya wadau wa michezo waliohudhuria tafrija hiyo. |
![]() |
| Rais wa TOC, Gulam Rashid akizungumza katika hafla hiyo. |
![]() |
| Aliyekuwa Mkuu wa Msafara wa timu ya Tanzania iliyoshiriki Michezo ya Olimpiki ya Rio 2016, Suleiman Jabir. |
![]() | |
| Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akimkabidhi zawadi mwanariadha Fabian Joseph aliyeshiriki Michezo ya 31 ya Olimpiki. |
![]() |
| Kocha wa timu ya Tanzania ya riadha iliyoshiriki Michezo ya Olimpiki, Francis John akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye. |
![]() |
| Muogeleaji Hilal Hemed Hilal akipewa zawadi na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Multchoice-Tanzania, Maharage Chande. |
![]() |
| Wachezaji walioshiriki Olimpiki 2016, viongozi wa michezo na wadau wengine wote walipata mlo wa usiku ulioandaliwa na Multchoice-Tanzania katika hoteli ya Serena. |
















No comments:
Post a Comment