Sunday 3 January 2016

Sherehe za Mapinduzi Zanzibar zazinduliwa kwa usafi wa mazingira kitaifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka leo wakati wa zoezi la usafi wa Mazingira katika soko la Mbogamboga la Mombasa mjini Zanzibar ikiwa ni uzinduzi wa sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akifanya usafi ikiwa sehemu ya uzinduzi wa miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar leo mjini humo.

No comments:

Post a Comment