Friday 1 January 2016

Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wakuu wake leo Ijumaa Januari 1, 2016

Rais DKT John Pombe Magufuli akimuapisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi katika afra iliyofanyika ikulu jijini Dara es Salaam leo Ijumaa Januari mosi, 2016.

No comments:

Post a Comment