Friday 1 January 2016

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amjulia hali Muadhama Kadinali Polycarp Pengo Muhimbili leo Januari Mosi 2016

Rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli na mkewe, Mama Janeth wakimjulia hali askofu mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam, mudhama Kadinali Polycarp Pengo katika hospitali ya taifa ya Muhimbili leo ambako yuko kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya yake. Askafu huyo alilazwa ana jioni.

No comments:

Post a Comment