Sunday 5 November 2017

Arsenal yapokea kichapo cha 3-1 kutoka kwa City

Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero (kushoto) akishangilia bao na mchezaji mwenzake baada yakufunga kwa penalti katika mchezo wa Ligi kuu ya England dhidi ya Arsenal leo kwenye Uwanja wa Etihad mjini Manchester, kaskazini magjaribi ya England. Man City imeshinda mabao 3-1. (Picha na AFP).


No comments:

Post a Comment