Thursday 8 August 2019

TAA Yawahakikishia SADC Huduma Bora

Raia wenye Asili ya Asia, kuanzia kulia Cuco Donny, Dorony Mnarty na Zohra
Lukmanji leo wakimsikiliza Kaimu Meneja Biashara wa Kiwanja cha Ndege cha 
Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Bi. Herieth Nyalusi (kushoto), 
walipotembelea maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya Jumuiya ya Maendeleo 
Kusini Mwa Afrika (SADC) katika Banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania 
(TAA), kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo 
yamefungwa leo na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein.
Kaimu Meneja Biashara, Bi. Herieth Nyalusi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (wa kwanza kulia), akitoa  maelezo mbalimbali kwa Bw. Mohamed Issa alipotembelea maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) katika Banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) waliopo kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yamefungwa leo na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein.
 Mzee Iluganyuma (kulia) leo akimsikiliza Kaimu Meneja Biashara wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) Bi. Herieth Nyalusi alipotembelea maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) katika Banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) waliopo kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yamefungwa leo na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein.
Ofisa Uhusiano wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bahati Mollel akitoa maelezo mbalimbali kwa Wilson Ishengoma (kulia) na watoto wake walipotembelea Banda la maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kwenye viwanja vya Karimjee. Maonesho hayo yamefungwa leo na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein.


No comments:

Post a Comment