Saturday 1 December 2018

Mahafali Pre-Unit Shule za Filbert Bayi Yafana

Wahitimu wa darasa la Pre-Unit wa Shule za Filbert Bayi wakipozi kwa picha kabla ya kupiga picha ya pamoja na mgeni rasmi Naibu waziri wa Nishati na Madini, Subira Mgalu Mkuza, Kibaha leo.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Subira Mgalu (kushoto) akiwasili katika shule za Filbert Bayi Mkuza leo. Kulia ni Mkurugenzi wa shule hizo, Anna Bayi.


Wanafunzi wa Pre-Unit wa shule za Filbert Bayi wakiwa na mgeni rasmi kabla ya mahafali yao leo Mkuza, Kibaha mkoani Pwani.


Wazazi wa wahitimu wa Pre-Unit wa Shule za Filbert Bayi pamoja na wageni waalikwa wakati wa mahafali leo Mkuza, Kibaha mkoani Pwani.

Wazazi na waalikwa wakati wa mahafali ya Pre Unit leo.

Wahitimu wa Pre Unit wakiongozwa na mwalimu wao wakati wa kuingia katika ukumbi leo.

Pre Unit wakicheza wakati wa mahafali yao leo Mkuza, Kibaha.



Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Subira Mgalu (wa pili kulia) akiwatuza wanafunzi wa Pre Unit baada ya kukunwa na uchezaji wao wakati wa mahafali yao leo. Kulia ni Mkurugenzi wa shule hizo, Anna Bayi.


No comments:

Post a Comment