Tuesday 24 November 2015

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kuendelea kushirikiana na jamii iliyojirani na viwanja vyake

Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Ramadhan Maleta akizungumza kwa niaba ya mkurugenzi Mkuu wa TAA wakati wa mahafali ya shule ya sekondari ya Louis Montfort iliyoko Yombo Buza jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 
 Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Ramadhan Maleta (kushoto) akimkabidhi zawadi mwanafunzi bora kielimu wa kidato cha nne wa shule ya Louis Montfort, Emmy Mduma wakati wa mahafali ya nne ya shule hiyo iliyopo Yombo, Buza jijini Dar es Salaam.
Mwanafunzi bora kitaaluma katika shule ya sekondari ya Louis Montfort, Emmy Mduma akipokea cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Ramadhan Maleta wakati wa mahafali ya shule hiyo iliyopo Yombo, Buza jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment