Monday 26 January 2015

Didier Drogba anyakua tuzo ya waandishi

MSHAMBULIAJI Nyota wa Chelsea, Didier Drogba amepewa tuzo ya mchango wake katika soka.
Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo, FWA kimempa tuzo hiyo Drogba ambaye aliwahi kuitwaa David Beckham na Alex Ferguson.
Drogba amesisitiza aniifurahia tuzo hiyo lakini akasema angependa kubaki Chelsea hata baada ya kustaafu.

No comments:

Post a Comment