Wednesday 30 May 2018

Chuo Kikuu Dar, Sweden Wajadili Njia za Kufundishia

Mkurugenzi wa KTH, Institute of Technology University Management, Profesa Roman Wyss  akifafanua jambo kwenye Mkutano wa mwendelezo wa kutekeleza  njia za kufundisha, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika secta ya mawasiliano kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sweden (KTH)  katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mhandisi Dk Hamisi detyabura (kulia)  akifafanua jambo kwenye Mkutano wa mwendelezo wa kutekeleza  njia za kufundishia katika sekta ya Mawasiliano kwa kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sweden (KTH), katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

UDSM ICT Incubator (UDICTI) Acting Coordinator, Collage of ICT, Christine Mwase, explain something during the conference of ICT held in Dar es Salaam today.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Hamisi Ndetabura (kulia), akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa KTH,  Roman Wyss (katikati) na Research Engeneer, Mats Leksell (kushoto) katika Mkutano wa mwendelezo wa kutekeleza  njia za kufundisha, chuo kikuu cha Dar es Salaam katika sekta ya mawasiliano kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sweden (KTH)  DSM uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dk Hamisi Ndetabura (kushoto), akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa KTH,  Proffesor Roman Wyss katika Mkutano wa mwendelezo wa kutekeleza  njia za kufundisha, uliofanyika leo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Secta ya Mawasiliano kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sweden (KTH).

No comments:

Post a Comment