Tuesday 27 November 2018

Waziri Kamwelwe Aitaka TBA kuwa na Subira



1.        Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe  (mwenye suti ya bluu) akiwaeleza jambo wanafunzi wa shule ya sekondari ya wavulana ya Ihungo ya Kagera, alipofanya ziara hivi karibuni. Kulia (mwenye suti ya udongo ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Bw. Philip Boniventura.


·Aridhishwa na Ujenzi wa Ihungo Boys

Na Mwandishi Wetu, Bukoba
WAKATI Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe ameomba taasisi za serikali, Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wizara, ambazo zimeipa kazi Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania (TBA), kuwa na subira kwa kuwa inaupungufu wa wafanyakazi, lakini ameridhishwa na ujenzi wa shule ya sekondari ya Wavulana ya Ihungo ya mkoani Kagera iliyojengwa na taasisi hiyo.

Akifafanua Mhe. Kamwelwe amesema TBA wanakumbwa na changamoto kubwa ya upungufu wa wafanyakazi, ambapo kwa Tanzania nzima wanawafanyakazi 300 pekee, ambao wanajitoa kwa kufanya kazi kwa bidii, ambapo idadi kamili inayotakiwa ni wafanyakazi 1,700.


1.        Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania (TBA) mkoa wa Kagera, Mhandisi Herico Bahati (mwenye shati la batiki) akimpa maelezo mbalimbali Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (kushoto) kuhusiana na ujenzi wa shule ya sekondari ya wavulana ya Ihungo, waliyoijenga baada ya awali kuharibiwa na tetemeko la ardhi lililotokea mwaka 2016. Mbele ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Bw. Philip Boniventura.


Hatahivyo, ameipongeza TBA kwa kufanya kazi nzuri za ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali kwa kutumia thamani halisi ya fedha, tofauti na wakandarasi binafsi, ambao  wamekuwa na gharama kubwa.

“Utendaji wa TBA bado unaleta mashaka nchi nzima na nimefanya nao kikao nikabaini wapo wafanyakazi 300 pekee na wanatakiwa angalau 1000 ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi zaidi, hivyo nashauri pamoja na kusikia malalamiko kila upande kutoka kwa Wakuu wa Wilaya, Mikoa, Bungeni na Watendaji wengine wa serikali, ninayafanyia kazi likiwemo la uhaba wa wafanyakazi,” amesema Mhe. Kamwelwe.

Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania (TBA) mkoa wa Kagera, Mhandisi Herico Bahati (mwenye shati la batiki) akimpa maelezo mbalimbali Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (kushoto) kuhusiana na ujenzi wa shule ya sekondari ya wavulana ya Ihungo, waliyoijenga baada ya awali kuharibiwa na tetemeko la ardhi lililotokea mwaka 2016. Mbele ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Bw. Philip Boniventura.
Baadhi ya kazi za ujenzi wanazofanya na walizofanya TBA ni pamoja na ujenzi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma mkoani Dodoma; ujenzi wa hospital ya Mkoa wa Simiyu na Ujenzi wa nyumba za watumishi wa umma mikoa mbalimbali.

Akizungumzia ujenzi wa shule ya sekondari ya wavulana ya Katika hatua nyingine, Mhe. Kamwelwe ameipongeza TBA kwa ujenzi wa shule ya kisasa ya sekondari ya wanaume ya Ihungo iliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea Kagera 2016.

“Nawapongeza sana kwa kujenga shule nzuri tena kwa gharama nafuu ya Bil. 10.4, ukiangalia wengine walitaka kujenga kwa Bil. 36, hivyo TBA wameokoa fedha nyingi sana za Watanzania na kiwango chao cha kazi ni kizuri,” amesema Mhe. Kamwelwe.


1.        Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Wavulana ya Ihungo na wa shule ya sekondari Bukoba, wakinawa mikono katika mabomba ya kisasa, ambayo yamejengwa na Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania (TBA) baada ya shule hiyo kuharibiwa na tetemeko la ardhi lililotokea mwaka 2016.

Naye Kaimu Meneja wa TBA Mkoa wa Kagera, Mhandisi Herico Bahati amesema ujenzi wa shule hiyo ulianza Oktoba 5, 2016, ambapo kuna majengo matatu ya ghorofa ya madarasa yenye vyumba 24, ofisi 12 za walimu, jengo la vyoo 80, mabweni matatu yenye vyumba 96, nyumba 30 za walimu, upanuzi wa bwalo la chakula na wamechimba kisima cha maji.

Shule hiyo inawanafunzi 600, ambapo sasa pia imeongezewa wanafunzi 751 wa shule ya Sekondari ya Bukoba waliohamishiwa hapo kwa muda baada ya shule yao kuezuliwa paa na upepo mkali uliotokea Oktoba 2018.

Nyumba nne kati ya 30 za walimu wa shule ya sekondari ya wavulana ya Ihungo ambao zimejengwa sambamba na vyumba vya madarasa na mabweni na Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania (TBA), baada ya shule ya awali kuharibiwa na tetemeko la ardhi lililoikumba Mkoa wa Kagera mwaka 2016.
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Muleba, ambaye pia anakaimu wilaya ya Bukoba Mjini, Mhandisi Richard Ruyangu ameishukuru serikali kwa kuijenga tena shule hiyo na sasa wanafunzi wanaendelea na masomo.

“Tunaishukuru serikali ya Awamu ya Tano ya Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa kutujengea tena shule nzuri na tunaimani kwa mazingira haya watoto watasoma kwa bidii, na hata walimu hali kadhalika watafundisha kwa moyo tumeona wamejengewa nyumba nzuri na za kisasa tena zipo maeneo ya karibu na shule itakuwa hawatoki mbali kuja kufundisha,” amesema Mhandisi Ruyangu.


1.        Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wavulana ya Ihungo wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe wakati alipotembelea shule hiyo kukagua maendeleo ya ujenzi wake. Shule hiyo imejengwa na Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania (TBA) baada ya kuharibiwa na tetemeko la ardhi lililotokea mwaka 2016.


Kiranja mkuu wa shule hiyo, Athuman Mohamed kwa niaba ya wanafunzi wenzake, ameishukuru serikali kwa kuwajengea tena shule yao na wameahidi kusoma kwa bidi ili kufanya vizuri katika masomo yao

.

Monday 26 November 2018

Matokeo Yoote Mashindano ya Riadha ya Taifa Wanawake 2018


2ND FIRST LADIES COMPETITION
NATIONAL STADIUM DAR ES SALAAM 24TH  – 25TH /11/2018

RESULTS
Wanariadha kutoka mikoa mbalimbali wakichuana katika mbio za Meta 10,000 za Mashindano ya Riadha ya Taifa ya Wanawake kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
100M HEAT 1
POS
NAME
REGION
TIME
1.
KAZIJA HASSAN SIMAI
MJINI MAGHARIBI
12.60
2.
KEFLEN KIPILI
MBEYA
13.44
3.
JOHARI HUSSEN
TABORA
13.56
4.
RUSIA NDEKI
GEITA
13.57
5.
JULIETH PHITA
MBEYA
13.80
6.
GRACE SINZA
SIMIYU
13.94
7.
REHEMA SELEMAN
MTWARA
14.00
8.
ANASTAZIA KAPINGU
RUVUMA
14.86
9.
SUBIRA MWANGATA
LINDI
15.93

100M HEAT II
POS
NAME
REGION
TIME
1.
WINFRIDA MAKENJI
DAR ES SALAAM
13.73
2.
NASRA ABDALLAH
KUSINI UNGUJA
13.88
3.
SUBEHA HAMAD
KUSINI PEMBA
14.16
4.
VICTORIA BABUYA
SONGWE
14.17
5.
MESIA GIDEON
MBEYA
14.19
6.
RABEKA KASHINDYE
NJIOMBE
14.35
7.
JANETH MICHAEL
TANGA
14.69
8.
GETRUDE DUE
RUVUMA
15.16

Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi (kulia) akizungumza na Katibu mkuu wa Riadha Tanzania (RT), Wilhelm Gidabuday na kocha wa riadha Mmarekani, Ron Davis (kushoto).
100M HEAT III
POS
NAME
REGION
TIME
1.
NURU NASIB MAKAME
KUSINI MAGHARIBI
13.74
2.
AGRIPINA INUS
MWANZA
13.94
3.
ZAWAD JUMA
MARA
14.03
4.
NYAMIZI MATHEO
TABORA
14.29
5.
NEIRA ERICK
LINDI
14.30
6.
ROZA BONIFACE
SONGWE
14.54
7.
ANNE PETER
MTWARA
15.20
8.
MWANAMWEMA KOMBA
PWANI
15.97

100M HEAT IV
POS
NAME
REGION
TIME
1.
SHUWENA ALLY
KASKAZINI UNGUJA
12.73
2.
JANE MAIGA
ARUSHA
12.89
3.
LEOCADIA JOHN
TABORA
13.90
4.
FIDEA JOSEPHAT
SINGIDA
13.92
5.
AGATHA MWINGA
DODOMA
13.95
6.
FATUMA ABDALLAH
KASKAZINI UNGUJA
13.95
7.
MARIA KATITI
SONGWE
14.31
8.
ANITHA BROWN
DAR ES SALAAM
14.67

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania, William Kalaghe akisoma risala wakati wa ufungaji wa mashindano ya taifa ya riadha ya wanawake kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
100M   FINAL
POS
NAME
REGION
TIME
1.
KAZIJA HASSAN SIMAI
MJINI MAGHARIBI
12.20
2.
WINFRIDA MAKENJI
DAR ES SALAAM
12.21
3.
NASRA ABDALLAH
KUSINI UNGUJA
12.26
4.
HIMIDIYA OMARY
KUSINI UNGUJA
12.28
5.
SHUWENA ALLY
KASKAZINI UNGUJA
12.35
6.
JOHARI HUSEIN
TABORA
12.37
7.
KEFLENI KIPILI
MBEYA
12.53
8.
RUSIA NDEKI
GEITA
12.85
9.
JANE MAIGA
ARUSHA
13.16
10.
AGRIPINA INUS
MWANZA
13.79



200M HEAT I
POS
NAME
REGION
TIME
1.
NAIMA MUSSA
MJINI MAGHARIBI
26.56
2.
KEFLENI KAPILI
MBEYA
26.65
3.
ZAINABU ALLY
KASKAZINI
28.47
4.
ZAWADI JUMA
MARA
30.60
5.
ADELINA AHUNGU
MOROGORO
30.74
6.
EDIKEDNESS MWISIGWA
KILIMANJARO
30.74
7.
NEILA ERICK
LINDI

8.
AISHA ALLY
TANGA


200M HEAT II
POS
NAME
REGION
TIME
1.
JANE MAIGA
ARUSHA
27.42
2.
NASRA ADBALLAH
KUSINI MAGHARIBI
28.58
3.
MARTHA STANSLAUS
GEITA
28.97
4.
ANASTAZIA KAPINGA
RUVUMA
28.99
5.
HALIMA ATHUMAN
TENGA
29.66
6.
MARIA KATITI
SONGWE
30.94

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ndumbalo wakati wa ufungaji wa mashindano ya riadha ya wanawake jana.
200M HEAT III
POS
NAME
REGION
TIME
1.
WINFRIDA MAKENKII
DAR ES SALAAM
26.09
2.
SHUWENA A. MUHAMED
KASKAZIN UNGUJA
26.51
3.
THEREZA BENALD
SIMIYU
27.72
4.
AGRIPINA YUNUS
MWANZA
28.62
5.
JULIETH FITA
MBEYA
29.41
6.
ESHA SORO
LINDI
36.03

200M HEAT IV
POS
NAME
REGION
TIME
1.
HIMIDIA OMARY
KUSINI MAGHARIBI
26.87
2.
GRACE SINZA
SIMIYU
28.43
3.
VICTORIA BABUYA
SONGWE
29.50
4.
NYAMIZI MATHEO
TABORA
29.63
5.
MESIA GIDION
MBEYA
29.90
6.
ANASTINA LEONARD
KATAVI
31.59
7.
OLIVIA EMANUEL
KAGERA
41.74

200M HEAT V
POS
NAME
REGION
TIME
1.
SUBEHA HAMADI
KUSINI PEMBA
27.82
2.
DESIANA SINGAILE
IRINGA
28.09
3.
MARIAM MAKOYE
KILIMANJARO
29.00
4.
REHEMA SULEMAN
MTWARA
30.03
5.
ROZA BONIFACE
SONGWE
30.28
6.
BIHIJA ABIED
DODOMA
30.53

200M HEAT VI
POS
NAME
REGION
TIME
1.
KAZIJA HASSAN
MJINI MAGHARIBI
26.02
2.
MARY EMIL
DSM
27.63
3.
RUSIA NDEKI
GEITA
29.03
4.
AGNES KWABI
TABORA
30.47
5.
PILI MWIPI
IRINGA
38.00
6.
FATUMA MASHAKA
MOROGORO
38.47

200M  SEMI FINAL  HEAT 1
POS
NAME
REGION
TIME
1.
HIMIDIA OMARY
KUSINI UNGUJA
25.82
2.
NAIMA MUSSA
MJINI MAGHARIBI
26.30
3.
SUBEH HAMAD
KUSINI PEMBA
26.88
4.
KEFLIN KIPILI
MBEYA
27.38
5.
GRACE SINZA
SIMIYU
28.60
6.
DESIANA SINGAILE
IRINGA
28.62
7.
MARIA MAKOYE
KILIMANJARO
29.37
8.
ZAINAB ALLY
KASIKAZINI UNGUJA
29.55

200M  SEMI  FINAL  HEAT II
POS
NAME
REGION
TIME
1.
WINFRIDA MAKENJI
DSM
25.58
2.
NASRA ABDALLAH
KUSINI UNGUJA
25.84
3.
KASIJA HASSAN SIMAI
MJINI MAGHARIBI
25.91
4.
SHUWENA A. MOHAMED
KASIKAZINI UNGUJA
26.16
5.
JANE MAIGA
ARUSHA
26.28
6.
MERRY EMIL
DSM
27.23
7.
THEREZA BENALD
SIMIYU
28.05
8.
MARTHA STANSLAUS
GEITA
28.31

200M    FINAL 
POS
NAME
REGION
TIME
1.
KAZIJA HASSAN SIMAI
MJINI MAGHARIBI
25.53
2.
NASRA ABDALLAH
KUSINI UNGUJA
25.75
3.
WINFRIDA MAKENJI
DAR ES SALAAM
25.90
4.
SHUWENA ALLY
KASKAZINI UNGUJA
25.97
5.
JANE MAIGA
KUSINI UNGUJA
26.06
6.
JANE MAIGA
ARUSHA
26.20
7.
SARAYA OTHUMAN
MJINI MAGHARIBI
26.37
8.
SUBEYA HAMAD
KUSINI PEMBA
26.68

400M  HEAT  I
POS
NAME
REGION
TIME
1.
PILI MIPAWA
PWANI
59.71
2.
HIMIDIA OMARY
KUSINI UNGUJA
61.70
3.
MARY EMMILY
DAR ES SALAAM
62.81
4.
JOHARI HUSSEIN
TABORA
62.84
5.
THEREZA BENALD
SIMIYU
63.50
6.
NURU NASIBU
KUSINI PEMBA
65.50
7.
HALIMA ATHUMAN
TANGA
65.76

400M  HEAT  II
POS
NAME
REGION
TIME
1.
REGINA DEOGRATIUS
PWANI
58.59
2.
CLEMENGIDA MKULILEI
PWANI
60.37
3.
ZULEHA OMARY KOMBA
KUSINI UNGUJA
63.56
4.
MATHA STANSLAUS
GEITA
64.63
5.
ROSE SEIF
ARUSHA
64.80
6.
ZAINABU ALLY OTHMAN
KASKAZINI UNGUJA
66.61




400M  HEAT  III
POS
NAME
REGION
TIME
1.
MARIAM SALIM
ARUSHA
60.26
2.
SALAYA OTHMAN
MJINI MAGHARIBI
63.26
3.
MARIETHA NOELELA
MWANZA
64.84
4.
HADIJA HAJI MAKAM
MJINI MAGHARIBI
66.97
5.
ANASTINA LEONALD
KATAVI
75.16
6.
ENEA MLALILA
SONGWE
82.08

400M HEAT IV
POS
NAME
REGION
TIME
1.
RUSIA PIUS
MWANZA
62.58
2.
LEOCADIA JOHN
TABORA
65.75
3.
VICTORIA MATAI
KILIMANJARO
69.44
4.
GETRUDA DUWE
RUVUMA
71.84
5.
VIOLETH RENATUS
RUVUMA
77.52
6.
NEEMA ENDREW
KAGERA
82.62
7.
ANNE PETTER
MTWARA
90.18

400M FINAL
POS
NAME
REGION
TIME
1.
HIMIDIA OMARY
KUSINI UNGUJA
58.72
2.
REGINA DEOGRATIUS
PWANI
58.79
3.
MARIA SALUM
ARUSHA
59.56
4.
PILI MIPAWA
PWANI
60.38
5.
HELEMENGILIDA NGULICE
PWANI
62.85
6.
RUSIA PIUS
MWANZA
63.70
7.
SARAYA OTHMAN
MJINI MAGHARIBI
64.33
8.
LEOKADIA JOHN
TABORA
65.19

800M HEAT I
POS
NAME
REGION
TIME
1.
REGINA MPIGACHAI
PWANI
2:13.5
2.
FAIZA ALLY
SINGIDA
2:18.70
3.
ZAKIA SAIDA
SINGIDA
2:21.41
4.
ROZALIA FABIAN
ARUSHA
2:22.85
5.
AISHA MZUMARI
MARA
2:26.25
6.
FATUMA ALLY
KASKAZINI
2:33.99
7.
MARIETA NGELELA
MWANZA
2:35.03
8.
KEDNESS MWESIGWA
KILIMANJARO
2:43.25
9.
TAUSI SAID
RUVUMA
2:45.38
10.
NYANZOBE MAGINA
SIMIYU
2:46.05
11.
LOVENESS ENOSI
KATAVI
2:46.97
12.
HELLEN VALENTINO
KILIMANJARO
3:03.77

800M HEAT II
POS
NAME
REGION
TIME
1.
DORCAS BONIFACE
PWANI
2:18.15
2.
KISA ABDALLAH
MBEYA
2:19.57
3.
AISHA LUBUNA
ARUSHA
2:21.62
4.
ROSEMARY GUSTAPH
KUSINI UNGUJA
2:21.93
5.
CATHERINE AMRI
TABORA
2:25.75
6.
ZAYANA MBEDULE
IRINGA
2:30.18
7.
MARIAM LIGWA
GEITA
2:33.65
8.
LETICIA KIDILA
SIMIYU
2:35.58
9.
VICTORIA NATAY
KILIMANJARO
2:50.22
10.
ENEA MLALILA
SONGWE
3:18.96

800M FINAL
POS
NAME
REGION
TIME
1.
REGINA DEOGRATIUS
PWANI
2:11.07
2.
MARIAM SALIMU
ARUSHA
2:18.03
3.
DORCAS BONIFACE
PWANI
2:18.87
4.
AISHA RUGUNA
ARUSHA
2:20.59
5.
FAIZA ALLY
SINGIDA
2:20.85
6.
RUSIA PIUS
MWANZA
2:22.88
7.
KUZA ABDALAH
MBEYA
2:23.19
8.
YUSTA NINGA
MANYARA
2:23.62
9.
ROSEMARY GUSTUS
KUSINI UNGUJA
2:23.90
10.
ZAKIA SAID
SINGIDA
2:24.27





1500M FINAL
POS
NAME
REGION
TIME
1.
AMINA MOHAMED MGOHO
ARUSHA
4:38.59
2.
DORCAS BONIFACE ILANDA
PWANI
4:40.19
3.
ESTER MARTIN
SINGIDA
4:41.88
4.
FAIZA ALLY
SINGIDA
4:43.65
5.
CECILIA GINOKA
ARUSHA
4:44.22
6.
ANASTAZIA DOLOMONGO
ARUSHA
4:49.05
7.
OLIVA FRANCIS NADE
MANYARA
4:50.89
8.
ASHA MZUMARI
MARA
4:57.64
9.
ROSEMARY GUSTAPH
KUSINI UNGUJA
5:00.03
10.
ZAYANA MBEDULE
IRINGA
5:01.19
11.
YUSTA NINGA
MANYARA
5:02.12
12.
ANASTAZIA MKAMA
MARA
5:02.59
13.
ZAKIA SAID
SINGIDA
5:11.39
14.
FROLA JOHN
GEITA
5:11.84
15.
ESTER BWIRE
MARA
5:18.14
16.
EVELINA ERICK
TABORA
5:19.22
17.
RETICIA KIDILA
SIMIYU
5:21.31
18.
MARIAM LINGWA
GEITA
5:23.36
19.
RENATH YUSTUS
KAGERA
6:31.34

5000M FINAL
POS
NAME
REGION
TIME
1.
NATALIA  ELISANTE
ARUSHA
16:49.87
2.
CECILIA GINOKA
ARUSHA
16:55.36
3.
AMINA MGOHO
ARUSHA
17:07.60
4.
ANGELINA JOHN
SINGIDA
17:34.03
5.
ANASTAZIA MKAMA
MARA
17:56.32
6.
NOELA REMI
MANYARA
17:59.28
7.
KATALINA PHILI
MANYARA
18:48.93
8.
VIOLETH ADAM KILAS
NJOMBE
19:34.68
9.
EVELINA ERICK
TABORA
20:40.13
10.
DIANA BUKADI
KAGERA
20:40.13
11.
SUZANA MODEST
SIMIYU
20:47.38
12.
AMINA TINDI
TANGA
21:07.10
13.
SALIDA MANONGA
DSM
21:30.31
14.
NYENDO MTUMWA
KATAVI

15.
VERO MUMBA
NJOMBE

16.
OLIVIA EMANUEL
KAGERA



10,000M
POS
NAME
REGION
TIME
1.
NATALIA ELISANTE
ARUSHA
35:49.45
2.
ANGELINA JOHN
ARUSHA
37:18.55
3.
ROZALIA FABIAN
ARUSHA
37:27.84
4.
NOEL REMI
MANYARA
39:23.68
5.
CATHERINA MARGWE
MANYARA
39:28.91
6.
VIOLETH ADAMU
NJOMBE
42:20.40
7.
SUZANE MODEST
SIMIYU
44:25.31
8.
NEEMA ANDREW
KAGERA
48:02.63
9.
NYENDO MTUNDU
KATAVI
48:48.21

JAVELIN
POS
NAME
REGION
DISTANCE
1.
TAMA JAHA
MJINI MAGHARIBI
34M.48CM
2.
JOYCE BARNABAS
DODOMA
33M.73CM
3.
ANNET MICHAEL
DAR ES SALAAM
31M.39CM
4.
MAGDALENA TEMBO
MANYARA
28M.55CM
5.
VERONICA PAUL
DAR ES SALAAM
28M.09CM
6.
MERY EMILY
DAR ES SALAAM
24M.57CM
7.
NYAMIZI MATETED
TABORA
24M.37CM
8.
DIANA RAFAEL
IRINGA
23M.69CM



OVER ALL WINNERS

S/N
JINA LA MKOA
GOLD
SILVER
BRONZE
1.
ARUSHA
3
2
3
2.
DODOMA
-
1
-
3.
DAR ES SALAAM
-
1
2
4.
GEITA
-
-
-
5.
IRINGA
-
-
-
6.
KAGERA
-
-
-
7.
KASKAZINI PEMBA
-
-
-
8.
KASKAZINI UNGUNJA
-
-
-
9.
KATAVI
-
-
-
10.
KILIMANJARO
-
-
-
11.
KUSINI PEMBA
-
-
-
12.
KUSINI UNGUJA
2
1
1
13.
LINDI
-
-
-
14.
MANYARA
-
-
-
15.
MARA
-
-
-
16.
MBEYA
-
-
-
17.
MJINI MAGHARIBI
2
-
-
18.
MOROGORO
-
-
-
19.
MTWARA
-
-
-
20.
MWANZA
-
-
-
21.
NJOMBE
-
-
-
22.
PWANI
1
2
2
23.
RUVUMA
-
-
-
24.
SHINYANGA
-
-
-
25.
SIMIYU
-
-
-
26.
SINGIDA
-
1
-
27.
SONGWE
-
-
-
28.
TABORA
-
-
-
29.
TANGA
-
-
-