Monday 13 July 2015

Casillas aaga akiondoka zake Real Madrid baada ya miaka 25

Kipa wazamani wa Real Madrid Iker Casillas, akiwa mbele ya mataji aliyotwaa na timu hiyo kwa vipindi tofauti alivyokuwa akiichezea timu hiyo, ambapo jana alikuwa na mkutano na waandishi wa habari kabla ya kwenda kujiunga na Porto ya Ureno. Casillas ameichezea Real kwa miaka 25 mfululizo.

No comments:

Post a Comment